dimanche 27 mai 2012

KANUMBA THE GREAT

 Siku zote nikiona picha hii hua napata uchungu san, kwakua Steven Ch KANUMBA alikua msada kwangu. yeye ndie mtu wakwanza alie nifunza hatua zangu zakwanza kwenye kundi la sanaa Great Lakes jijini Bujumbura mwaka 2010 kipindi alikuja kupiga show pamoja nadada IRENE.MUNGU ailaze roho ya marehemu mahali pema.
KANUMBA The great sito kusahau kwawema ulionitendea

mardi 15 mai 2012

SGwambaye the great

Steven Richard GWAMBAYE nampenda sana MUNGU......MUNGU nijalie nipate marafiki wengi wapinzani waniige mimi nisiwaige wao vilevile nisaidie niwe nawivu wamaendeleo sikuzote Amen.

lundi 14 mai 2012

MAGAZETI

SGwambaye the great namuunga mkono wakulia swahiba wangu Buba The HOT kwa neno alilolizungumza na waandishi wa habari.Jamani sio viizuri kusema kitu ambacho hauna ushahidi nacho.
RAY THEGREATEST pamoja na KANUMBA THE GREAT walikua wakiishi kama mapacha,je wewe unae sema mambo hayo unaushahidi?SGwambaye the great napinga kitu kama hicho.RAY hawezi kumua KANUMBA.

dimanche 13 mai 2012

Gwambaye pamoja nawasani wa bongo

                            SGwambaye the great pamoja nadada Irene jijini Bujumbura
                                    SGwambaye the great pamoja na kaka Tino jijini Bujumbura            
                                               Heeee..Swahiba wangu Buba the hot
                                           SGwambaye the great na Buba the hot ni kama mapacha

Gwambaye na Shabiki wake

    Sabimana Innocent niswahiba mkubwa ambaye arisaidia SGwambaye the great yeye ni editor
                                 Swahiba amerudi nakazi yake kama m unavyo muona na Camera
 Heeee...SGwambaye the great, jamaani kumbe Gasuku anaweza kuishi na watu?uriza  SGwambaye the great