lundi 14 mai 2012

MAGAZETI

SGwambaye the great namuunga mkono wakulia swahiba wangu Buba The HOT kwa neno alilolizungumza na waandishi wa habari.Jamani sio viizuri kusema kitu ambacho hauna ushahidi nacho.
RAY THEGREATEST pamoja na KANUMBA THE GREAT walikua wakiishi kama mapacha,je wewe unae sema mambo hayo unaushahidi?SGwambaye the great napinga kitu kama hicho.RAY hawezi kumua KANUMBA.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire